Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 24
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 24:1

Marejeo

  • +Mt 19:3, 8
  • +Yer 3:8; Mt 5:31; Mk 10:4
  • +Mal 2:16; Mt 1:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    ‘Mfuasi Wangu’, kur. 104-105

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2018, uku. 11

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2016, kur. 9-11

    Yesu—Njia, uku. 222

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/2008, uku. 25

    8/15/1993, kur. 4-5

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 9/1 25; cf 104

Kumbukumbu la Torati 24:2

Marejeo

  • +Law 21:7; Mt 5:32; Mk 10:11

Kumbukumbu la Torati 24:4

Marejeo

  • +Yer 3:1

Kumbukumbu la Torati 24:5

Marejeo

  • +Kum 20:7; Lu 14:20
  • +Met 5:18; Mhu 9:9

Kumbukumbu la Torati 24:6

Marejeo

  • +Kut 22:26, 27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2014, uku. 7

    9/15/2004, uku. 26

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 9/15 26

Kumbukumbu la Torati 24:7

Marejeo

  • +Mwa 40:15; Kut 21:16; 1Ti 1:10
  • +Mwa 37:28
  • +Kum 19:19; 21:21

Kumbukumbu la Torati 24:8

Marejeo

  • +Law 13:9; 14:2, 34
  • +Law 13:2, 15; 2Nya 26:20; Mal 2:7; Mk 1:44; Lu 17:14
  • +Zb 119:4

Kumbukumbu la Torati 24:9

Marejeo

  • +Hes 12:10, 15

Kumbukumbu la Torati 24:10

Marejeo

  • +Kum 15:8; Met 3:27
  • +Ayu 24:3

Kumbukumbu la Torati 24:12

Marejeo

  • +Ayu 24:9, 10

Kumbukumbu la Torati 24:13

Marejeo

  • +Kut 22:26; Eze 18:7; 33:15
  • +Kut 22:27
  • +1Sa 25:14; Eze 33:15; 2Ko 9:13
  • +Kum 6:25; Zb 112:9; Da 4:27

Kumbukumbu la Torati 24:14

Marejeo

  • +Law 25:40, 43; Met 14:31; Mal 3:5

Kumbukumbu la Torati 24:15

Marejeo

  • +Law 19:13; Yer 22:13; Mt 20:8
  • +Kut 22:23; Ayu 34:28; Zb 25:1; 86:4; Met 22:23; Yak 5:4
  • +Yak 4:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2018, uku. 32

Kumbukumbu la Torati 24:16

Marejeo

  • +2Nya 25:4; Yer 31:30
  • +Eze 18:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1986, uku. 31

Kumbukumbu la Torati 24:17

Marejeo

  • +Kut 22:21; Eze 22:29
  • +Kut 22:22; Isa 1:23; Yer 5:28; Mal 3:5
  • +Kut 22:27; Ayu 24:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    2/2019, kur. 24-25

Kumbukumbu la Torati 24:18

Marejeo

  • +Kum 5:15; 15:15; 16:12

Kumbukumbu la Torati 24:19

Marejeo

  • +Law 19:9
  • +Law 23:22; Ru 2:16; Zb 41:1
  • +Kum 15:10; Met 11:24; 14:21; 19:17; Lu 6:38; 2Ko 9:6; 1Yo 3:17

Kumbukumbu la Torati 24:20

Marejeo

  • +Law 19:10; Kum 26:13

Kumbukumbu la Torati 24:22

Marejeo

  • +Kut 13:3
  • +2Ko 8:8

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 24:1Mt 19:3, 8
Kum. 24:1Yer 3:8; Mt 5:31; Mk 10:4
Kum. 24:1Mal 2:16; Mt 1:19
Kum. 24:2Law 21:7; Mt 5:32; Mk 10:11
Kum. 24:4Yer 3:1
Kum. 24:5Kum 20:7; Lu 14:20
Kum. 24:5Met 5:18; Mhu 9:9
Kum. 24:6Kut 22:26, 27
Kum. 24:7Mwa 40:15; Kut 21:16; 1Ti 1:10
Kum. 24:7Mwa 37:28
Kum. 24:7Kum 19:19; 21:21
Kum. 24:8Law 13:9; 14:2, 34
Kum. 24:8Law 13:2, 15; 2Nya 26:20; Mal 2:7; Mk 1:44; Lu 17:14
Kum. 24:8Zb 119:4
Kum. 24:9Hes 12:10, 15
Kum. 24:10Kum 15:8; Met 3:27
Kum. 24:10Ayu 24:3
Kum. 24:12Ayu 24:9, 10
Kum. 24:13Kut 22:26; Eze 18:7; 33:15
Kum. 24:13Kut 22:27
Kum. 24:131Sa 25:14; Eze 33:15; 2Ko 9:13
Kum. 24:13Kum 6:25; Zb 112:9; Da 4:27
Kum. 24:14Law 25:40, 43; Met 14:31; Mal 3:5
Kum. 24:15Law 19:13; Yer 22:13; Mt 20:8
Kum. 24:15Kut 22:23; Ayu 34:28; Zb 25:1; 86:4; Met 22:23; Yak 5:4
Kum. 24:15Yak 4:17
Kum. 24:162Nya 25:4; Yer 31:30
Kum. 24:16Eze 18:20
Kum. 24:17Kut 22:21; Eze 22:29
Kum. 24:17Kut 22:22; Isa 1:23; Yer 5:28; Mal 3:5
Kum. 24:17Kut 22:27; Ayu 24:3
Kum. 24:18Kum 5:15; 15:15; 16:12
Kum. 24:19Law 19:9
Kum. 24:19Law 23:22; Ru 2:16; Zb 41:1
Kum. 24:19Kum 15:10; Met 11:24; 14:21; 19:17; Lu 6:38; 2Ko 9:6; 1Yo 3:17
Kum. 24:20Law 19:10; Kum 26:13
Kum. 24:22Kut 13:3
Kum. 24:222Ko 8:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 24:1-22

Kumbukumbu la Torati

24 “Mwanamume akimchukua mwanamke na kumfanya awe mke wake, pia itatukia kwamba ikiwa hatapata kibali machoni pake kwa sababu amepata kitu fulani kisichofaa katika mwanamke huyo,+ atamwandikia pia cheti cha talaka+ na kukitia mkononi mwake na kumfukuza kutoka katika nyumba yake.+ 2 Naye ataondoka katika nyumba ya mwanamume huyo, akawe mke wa mwanamume mwingine.+ 3 Ikiwa yule mwanamume wa mwisho amekuja kumchukia naye amemwandikia cheti cha talaka, akakitia mkononi mwake na kumfukuza kutoka katika nyumba yake, au ikiwa yule mwanamume wa mwisho aliyemchukua awe mke wake atakufa, 4 yule mume wa kwanza aliyemfukuza hataruhusiwa kumchukua tena awe mke wake baada ya mwanamke huyo kutiwa unajisi;+ kwa maana hilo ni chukizo mbele za Yehova, nawe usiingize katika dhambi nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe iwe urithi.

5 “Ikiwa mwanamume atamchukua mwanamke mpya,+ hapaswi kwenda jeshini, wala asitwikwe jambo lingine lolote. Ataachwa akae katika nyumba yake kwa mwaka mmoja, naye amfanye mke wake ambaye amemwoa ashangilie.+

6 “Mtu yeyote asitwae kuwa rehani jiwe la kusagia la mkononi au jiwe lake la juu la kusagia,+ kwa sababu ni nafsi anayoitwaa kuwa rehani.

7 “Ikiwa mtu atapatikana akiteka nyara+ nafsi ya ndugu zake wa wana wa Israeli, naye amemtendea kwa uonevu na kumuuza,+ mteka-nyara huyo lazima afe. Nawe lazima uondolee mbali lililo baya kutoka katikati yako.+

8 “Jilinde katika pigo la ukoma,+ ujitunze vizuri na kufanya yote ambayo makuhani Walawi watawaagiza ninyi.+ Kama vile nilivyowaamuru, muwe waangalifu kufanya.+ 9 Jambo ambalo Yehova Mungu wako alimtendea Miriamu njiani mlipokuwa mkija kutoka Misri lapasa kukumbukwa.+

10 “Ikiwa utamkopesha mwenzako mkopo wa namna yoyote,+ usiingie katika nyumba yake ili kuchukua kutoka kwake kitu ambacho amekiweka kuwa rehani.+ 11 Unapaswa kusimama nje, na mtu ambaye unamkopesha atakuletea hiyo rehani nje. 12 Na ikiwa mtu huyo yuko katika taabu, hupaswi kwenda kulala na rehani yake.+ 13 Kwa vyovyote unapaswa kumrudishia rehani hiyo mara tu baada ya jua kutua,+ naye ataenda kulala na vazi lake,+ naye atakubariki;+ nalo hilo litamaanisha uadilifu kwako mbele za Yehova Mungu wako.+

14 “Hupaswi kumpunja mfanyakazi wa kukodiwa aliye katika taabu na aliye maskini, awe wa ndugu zako au wa wakaaji wageni wako walio katika nchi yako, ndani ya malango yako.+ 15 Katika siku yake utampa malipo yake,+ nalo jua lisitue juu yake, kwa sababu yeye yuko katika taabu naye anaiinua nafsi yake kwa malipo yake; ili asimlilie Yehova juu yako,+ na iwe dhambi kwako.+

16 “Akina baba wasiuawe kwa sababu ya watoto, na watoto wasiuawe kwa sababu ya akina baba.+ Kila mmoja atauawa kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.+

17 “Hupaswi kupotosha hukumu ya mkaaji mgeni+ au ya mvulana asiye na baba,+ nawe hupaswi kutwaa vazi la mjane kama rehani.+ 18 Nawe lazima ukumbuke kwamba ulikuwa mtumwa katika Misri, na Yehova Mungu wako alikukomboa kutoka huko.+ Ndiyo sababu ninakuamuru ufanye jambo hili.

19 “Ikiwa utavuna mavuno ya shamba lako,+ nawe umesahau mganda shambani, hupaswi kurudi kuuchukua. Huo utakaa kwa ajili ya mkaaji mgeni, kwa ajili ya mvulana asiye na baba na kwa ajili ya mjane;+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kila tendo la mkono wako.+

20 “Ikiwa utachuma mzeituni wako, usipitie matawi yake tena. Huo wapaswa kukaa hivyo kwa ajili ya mkaaji mgeni, kwa ajili ya mvulana asiye na baba na kwa ajili ya mjane.+

21 “Ikiwa utakusanya zabibu za shamba lako la mizabibu, hupaswi kurudi na kukusanya masalio tena. Yatabaki hivyo kwa ajili ya mkaaji mgeni, kwa ajili ya mvulana asiye na baba na kwa ajili ya mjane. 22 Nawe utakumbuka kwamba ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri.+ Ndiyo sababu ninakuamuru ufanye jambo hili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki