Mwanzo 40:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana kwa kweli nilitekwa nyara kutoka katika nchi ya Waebrania;+ na hapa pia sijafanya jambo lolote kamwe hata wanitie katika tundu hili la gereza.”+ Kutoka 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Naye anayemteka nyara mtu+ na kumuuza+ au ambaye mikononi mwake huyo aliyetekwa amepatikana lazima auawe.+ 1 Timotheo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 waasherati,+ wanaume wanaolala na wanaume, watu wanaoteka watu, waongo, wanaoapa kwa uwongo,+ na jambo lingine lolote linalopinga+ fundisho lenye afya+
15 Kwa maana kwa kweli nilitekwa nyara kutoka katika nchi ya Waebrania;+ na hapa pia sijafanya jambo lolote kamwe hata wanitie katika tundu hili la gereza.”+
16 “Naye anayemteka nyara mtu+ na kumuuza+ au ambaye mikononi mwake huyo aliyetekwa amepatikana lazima auawe.+
10 waasherati,+ wanaume wanaolala na wanaume, watu wanaoteka watu, waongo, wanaoapa kwa uwongo,+ na jambo lingine lolote linalopinga+ fundisho lenye afya+