Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 39:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini akawa akikataa,+ naye alikuwa akimwambia mke wa bwana wake: “Tazama bwana wangu hajui kilicho nami nyumbani, na vyote ameviweka mkononi mwangu.+

  • Zaburi 105:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mpaka wakati neno lake lilipotimia,+

      Maneno ya Yehova mwenyewe yakamsafisha.+

  • Zaburi 119:86
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  86 Amri zako zote ni uaminifu.+

      Wamenitesa bila sababu. Ee unisaidie.+

  • Danieli 6:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mungu wangu mwenyewe+ alimtuma malaika+ wake na kufunga vinywa vya simba,+ nao hawakuniangamiza, kwa kuwa nimeonekana kuwa mtu asiye na hatia mbele zake;+ na pia mbele yako, Ee mfalme, mimi sijafanya tendo lolote lenye kudhuru.”+

  • Yohana 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini ni ili neno lililoandikwa katika Sheria yao lipate kutimizwa, ‘Walinichukia bila sababu.’+

  • Waebrania 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali ni yenye kuhuzunisha;+ lakini baadaye kwa wale ambao wamezoezwa nayo hiyo huzaa tunda lenye kufanya amani,+ yaani, uadilifu.+

  • 1 Petro 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana ni afadhali kuteseka kwa sababu mnatenda mema,+ ikiwa mapenzi ya Mungu yanataka hivyo, kuliko kuteseka kwa sababu mnatenda maovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki