22 Mungu wangu mwenyewe+ alimtuma malaika+ wake na kufunga vinywa vya simba,+ nao hawakuniangamiza, kwa kuwa nimeonekana kuwa mtu asiye na hatia mbele zake;+ na pia mbele yako, Ee mfalme, mimi sijafanya tendo lolote lenye kudhuru.”+
11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali ni yenye kuhuzunisha;+ lakini baadaye kwa wale ambao wamezoezwa nayo hiyo huzaa tunda lenye kufanya amani,+ yaani, uadilifu.+