Zaburi 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeyote asiye na hatia katika mikono yake na aliye safi moyoni,+Ambaye hajaitendea nafsi Yangu kwa ubatili mtupu,+Wala kuapa kwa udanganyifu.+ Zaburi 26:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitaiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia,+Nami nitatembea nikizunguka madhabahu yako, Ee Yehova,+
4 Yeyote asiye na hatia katika mikono yake na aliye safi moyoni,+Ambaye hajaitendea nafsi Yangu kwa ubatili mtupu,+Wala kuapa kwa udanganyifu.+
6 Nitaiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia,+Nami nitatembea nikizunguka madhabahu yako, Ee Yehova,+