Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Unioshe kabisa kutokana na kosa langu,+

      Na kunitakasa kutokana na dhambi yangu.+

  • Zaburi 73:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hakika nimeusafisha moyo wangu bure+

      Na kuiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia.+

  • Isaya 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+

  • Mathayo 27:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Alipoona kwamba haikufaidi kitu bali, badala yake, ghasia zilikuwa zikitokea, Pilato alichukua maji+ na kunawa mikono yake mbele ya ule umati, akisema: “Mimi sina hatia ya damu ya mtu huyu. Shauri yenu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki