Zaburi 51:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Unioshe kabisa kutokana na kosa langu,+Na kunitakasa kutokana na dhambi yangu.+ Zaburi 73:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hakika nimeusafisha moyo wangu bure+Na kuiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia.+ Isaya 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+ Mathayo 27:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Alipoona kwamba haikufaidi kitu bali, badala yake, ghasia zilikuwa zikitokea, Pilato alichukua maji+ na kunawa mikono yake mbele ya ule umati, akisema: “Mimi sina hatia ya damu ya mtu huyu. Shauri yenu.”
16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+
24 Alipoona kwamba haikufaidi kitu bali, badala yake, ghasia zilikuwa zikitokea, Pilato alichukua maji+ na kunawa mikono yake mbele ya ule umati, akisema: “Mimi sina hatia ya damu ya mtu huyu. Shauri yenu.”