18 “Sasa, njooni, nasi tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Hata dhambi zenu zikiwa nyekundu, zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+ hata zikiwa nyekundu kama kitambaa chekundu; zitakuwa kama sufu.
11 Na bado wengine wenu mlikuwa hivyo.+ Lakini mmeoshwa mkawa safi,+ lakini mmetakaswa,+ lakini mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo+ na kwa roho ya Mungu wetu.+