Zaburi 51:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Unitakase kwa hisopo kutokana na dhambi, ili nipate kuwa safi;+Unioshe, ili nipate kuwa mweupe kuliko theluji.+ Isaya 44:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nitayafutilia mbali makosa yako kana kwamba ni kwa wingu,+ na dhambi zako kana kwamba ni kwa wingu kubwa. Rudi kwangu,+ kwa maana nitakukomboa.+ Maombolezo 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wanadhiri+ wake walikuwa safi kuliko theluji;+ walikuwa weupe kuliko maziwa.Kwa kweli walikuwa wekundu+ kuliko marijani; kung’arishwa kwao kulikuwa kama yakuti.+ Mika 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Atatuonyesha rehema tena;+ atayatiisha makosa yetu.+ Nawe utazitupa dhambi zao zote+ katika vilindi vya bahari.
7 Unitakase kwa hisopo kutokana na dhambi, ili nipate kuwa safi;+Unioshe, ili nipate kuwa mweupe kuliko theluji.+
22 Nitayafutilia mbali makosa yako kana kwamba ni kwa wingu,+ na dhambi zako kana kwamba ni kwa wingu kubwa. Rudi kwangu,+ kwa maana nitakukomboa.+
7 Wanadhiri+ wake walikuwa safi kuliko theluji;+ walikuwa weupe kuliko maziwa.Kwa kweli walikuwa wekundu+ kuliko marijani; kung’arishwa kwao kulikuwa kama yakuti.+
19 Atatuonyesha rehema tena;+ atayatiisha makosa yetu.+ Nawe utazitupa dhambi zao zote+ katika vilindi vya bahari.