Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Unitakase kwa hisopo kutokana na dhambi, ili nipate kuwa safi;+

      Unioshe, ili nipate kuwa mweupe kuliko theluji.+

  • Isaya 44:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitayafutilia mbali makosa yako kana kwamba ni kwa wingu,+ na dhambi zako kana kwamba ni kwa wingu kubwa. Rudi kwangu,+ kwa maana nitakukomboa.+

  • Maombolezo 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wanadhiri+ wake walikuwa safi kuliko theluji;+ walikuwa weupe kuliko maziwa.

      Kwa kweli walikuwa wekundu+ kuliko marijani; kung’arishwa kwao kulikuwa kama yakuti.+

  • Mika 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Atatuonyesha rehema tena;+ atayatiisha makosa yetu.+ Nawe utazitupa dhambi zao zote+ katika vilindi vya bahari.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki