Isaya 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Sayuni atakombolewa kwa haki,+ na watu wake wanaorudi, kwa uadilifu.+ Isaya 48:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tokeni katika Babiloni!+ Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo.+ Tangazeni kwa sauti ya vigelegele vya shangwe, fanyeni hili lisikiwe.+ Lifanyeni liende mpaka mwisho wa dunia.+ Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+ Isaya 59:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Naye Mkombozi+ hakika atakuja Sayuni,+ na kwa wale wanaouacha ukosaji katika Yakobo,”+ asema Yehova. 1 Wakorintho 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 kwa maana mlinunuliwa kwa bei.+ Kwa vyovyote, mtukuzeni+ Mungu katika mwili+ wenu.
20 Tokeni katika Babiloni!+ Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo.+ Tangazeni kwa sauti ya vigelegele vya shangwe, fanyeni hili lisikiwe.+ Lifanyeni liende mpaka mwisho wa dunia.+ Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+
20 “Naye Mkombozi+ hakika atakuja Sayuni,+ na kwa wale wanaouacha ukosaji katika Yakobo,”+ asema Yehova.