Kumbukumbu la Torati 24:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nawe lazima ukumbuke kwamba ulikuwa mtumwa katika Misri, na Yehova Mungu wako alikukomboa kutoka huko.+ Ndiyo sababu ninakuamuru ufanye jambo hili. Yeremia 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kwa kweli Yehova atamkomboa Yakobo+ na kumponya kutoka mkononi mwa yule aliye na nguvu kuliko yeye.+
18 Nawe lazima ukumbuke kwamba ulikuwa mtumwa katika Misri, na Yehova Mungu wako alikukomboa kutoka huko.+ Ndiyo sababu ninakuamuru ufanye jambo hili.
11 Kwa maana kwa kweli Yehova atamkomboa Yakobo+ na kumponya kutoka mkononi mwa yule aliye na nguvu kuliko yeye.+