Isaya 49:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini Yehova amesema hivi: “Hata kundi la mateka la mwanamume mwenye nguvu litachukuliwa,+ na wale waliokwisha kuchukuliwa na mwonevu wataponyoka.+ Nami nitashindana na mtu yeyote anayeshindana nawe,+ nami nitawaokoa wana wako.+
25 Lakini Yehova amesema hivi: “Hata kundi la mateka la mwanamume mwenye nguvu litachukuliwa,+ na wale waliokwisha kuchukuliwa na mwonevu wataponyoka.+ Nami nitashindana na mtu yeyote anayeshindana nawe,+ nami nitawaokoa wana wako.+