Isaya 54:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Silaha yoyote itakayofanywa juu yako haitafanikiwa,+ na ulimi wowote utakaoinuka juu yako katika hukumu wewe utauhukumu.+ Hilo ndilo fungu la urithi la watumishi wa Yehova,+ na uadilifu wao ni kutoka kwangu,” asema Yehova.+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
17 Silaha yoyote itakayofanywa juu yako haitafanikiwa,+ na ulimi wowote utakaoinuka juu yako katika hukumu wewe utauhukumu.+ Hilo ndilo fungu la urithi la watumishi wa Yehova,+ na uadilifu wao ni kutoka kwangu,” asema Yehova.+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+