Zaburi 61:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wewe mwenyewe, Ee Mungu, umesikiliza nadhiri zangu.+Umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.+ Isaya 58:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ndipo utakapopata furaha tele katika Yehova,+ nami nitakupandisha mahali pa juu pa dunia;+ nitakufanya ule kutokana na fungu la urithi la Yakobo babu yako,+ kwa maana kinywa chenyewe cha Yehova kimesema hayo.”+
5 Kwa maana wewe mwenyewe, Ee Mungu, umesikiliza nadhiri zangu.+Umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.+
14 ndipo utakapopata furaha tele katika Yehova,+ nami nitakupandisha mahali pa juu pa dunia;+ nitakufanya ule kutokana na fungu la urithi la Yakobo babu yako,+ kwa maana kinywa chenyewe cha Yehova kimesema hayo.”+