16 Wakati huo wale wenye kumwogopa Yehova+ wakasemezana, kila mmoja na mwenzake, na Yehova akaendelea kutoa uangalifu na kusikiliza.+ Na kitabu cha kumbukumbu kikaanza kuandikwa mbele zake+ kwa ajili ya wale wenye kumwogopa Yehova na kwa ajili ya wale wanaolifikiria jina lake.+