Zaburi 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova atawapa watu wake nguvu kwelikweli.+Yehova atawabariki kwa amani watu wake.+ Luka 1:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 na kwa vizazi baada ya vizazi rehema yake iko juu ya wale wanaomwogopa.+ Matendo 13:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Wanaume, akina ndugu, ninyi wana wa ukoo wa Abrahamu na wale wengine kati yenu ambao mnamwogopa Mungu, neno la wokovu huu limeletwa kwetu sisi.+
26 “Wanaume, akina ndugu, ninyi wana wa ukoo wa Abrahamu na wale wengine kati yenu ambao mnamwogopa Mungu, neno la wokovu huu limeletwa kwetu sisi.+