Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Yehova na ainue uso wake kukuelekea+ na kukupa amani.”’+

  • Zaburi 72:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Katika siku zake aliye mwadilifu atachipuka,+

      Na wingi wa amani mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.+

  • Zaburi 147:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Anaweka amani katika eneo lako;+

      Anaendelea kukushibisha kwa unono wa ngano.+

  • Waroma 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Mungu anayetoa amani na awe pamoja nanyi nyote.+ Amina.

  • 1 Wakorintho 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na muwe na fadhili zisizostahiliwa+ na amani+ kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki