Hesabu 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yehova na ainue uso wake kukuelekea+ na kukupa amani.”’+ Zaburi 72:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika siku zake aliye mwadilifu atachipuka,+Na wingi wa amani mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.+ Zaburi 147:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Anaweka amani katika eneo lako;+Anaendelea kukushibisha kwa unono wa ngano.+ Waroma 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mungu anayetoa amani na awe pamoja nanyi nyote.+ Amina. 1 Wakorintho 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na muwe na fadhili zisizostahiliwa+ na amani+ kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.+
7 Katika siku zake aliye mwadilifu atachipuka,+Na wingi wa amani mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.+