Zaburi 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova atawapa watu wake nguvu kwelikweli.+Yehova atawabariki kwa amani watu wake.+ Luka 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Utukufu katika vilele vilivyo juu+ kwa Mungu, na juu ya dunia amani+ kati ya watu wa nia njema.”+ Yohana 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ninawaachia ninyi amani, ninawapa amani+ yangu. Siwapi ninyi hiyo kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa.
14 “Utukufu katika vilele vilivyo juu+ kwa Mungu, na juu ya dunia amani+ kati ya watu wa nia njema.”+
27 Ninawaachia ninyi amani, ninawapa amani+ yangu. Siwapi ninyi hiyo kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa.