Yohana 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nimewaambia mambo haya ili kupitia kwangu mpate kuwa na amani.+ Ulimwenguni mna dhiki, lakini jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu.”+ Waefeso 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yeye aliyefanya vile vikundi viwili+ kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta+ wa katikati uliowatenganisha.+ Wafilipi 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 na amani+ ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo+ yenu na nguvu zenu za akili kwa njia ya Kristo Yesu. Wakolosai 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Pia, acheni amani+ ya Kristo itawale mioyoni mwenu,+ kwa maana ninyi, kwa kweli, mliitiwa hiyo katika mwili mmoja.+ Na mjionyeshe kuwa wenye shukrani. 2 Wathesalonike 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa Bwana wa amani mwenyewe na awape ninyi amani daima katika kila njia.+ Bwana na awe pamoja nanyi nyote.
33 Nimewaambia mambo haya ili kupitia kwangu mpate kuwa na amani.+ Ulimwenguni mna dhiki, lakini jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu.”+
14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yeye aliyefanya vile vikundi viwili+ kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta+ wa katikati uliowatenganisha.+
7 na amani+ ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo+ yenu na nguvu zenu za akili kwa njia ya Kristo Yesu.
15 Pia, acheni amani+ ya Kristo itawale mioyoni mwenu,+ kwa maana ninyi, kwa kweli, mliitiwa hiyo katika mwili mmoja.+ Na mjionyeshe kuwa wenye shukrani.
16 Sasa Bwana wa amani mwenyewe na awape ninyi amani daima katika kila njia.+ Bwana na awe pamoja nanyi nyote.