Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nimewaambia mambo haya ili kupitia kwangu mpate kuwa na amani.+ Ulimwenguni mna dhiki, lakini jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu.”+

  • Waefeso 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yeye aliyefanya vile vikundi viwili+ kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta+ wa katikati uliowatenganisha.+

  • Wafilipi 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 na amani+ ya Mungu yenye ubora unaozidi fikira zote itailinda mioyo+ yenu na nguvu zenu za akili kwa njia ya Kristo Yesu.

  • Wakolosai 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Pia, acheni amani+ ya Kristo itawale mioyoni mwenu,+ kwa maana ninyi, kwa kweli, mliitiwa hiyo katika mwili mmoja.+ Na mjionyeshe kuwa wenye shukrani.

  • 2 Wathesalonike 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Sasa Bwana wa amani mwenyewe na awape ninyi amani daima katika kila njia.+ Bwana na awe pamoja nanyi nyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki