4 Kwa kweli, pia, wakati tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwaambia kimbele+ kwamba tulikusudiwa kupatwa na dhiki,+ kama vile ambavyo imetukia pia na kama mnavyojua.+
4 Ninyi mnatokana na Mungu, watoto wadogo, nanyi mmewashinda watu hao,+ kwa sababu yeye aliye katika muungano+ na ninyi ni mkuu+ kuliko yeye aliye katika muungano na ulimwengu.+
21 Yeye atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kuketi pamoja nami katika kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilivyoshinda na kuketi+ pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha ufalme.+