Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 wakizitia nguvu nafsi za wanafunzi,+ wakiwatia moyo kubaki katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kupitia dhiki nyingi.”+

  • 1 Wathesalonike 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa kweli, pia, wakati tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwaambia kimbele+ kwamba tulikusudiwa kupatwa na dhiki,+ kama vile ambavyo imetukia pia na kama mnavyojua.+

  • 1 Yohana 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ninyi mnatokana na Mungu, watoto wadogo, nanyi mmewashinda watu hao,+ kwa sababu yeye aliye katika muungano+ na ninyi ni mkuu+ kuliko yeye aliye katika muungano na ulimwengu.+

  • 1 Yohana 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa sababu kila kitu ambacho kimezaliwa+ kutokana na Mungu huushinda ulimwengu.+ Na huu ndio ushindi+ ambao umeushinda+ ulimwengu, imani+ yetu.

  • Ufunuo 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yeye atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kuketi pamoja nami katika kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilivyoshinda na kuketi+ pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki