2 Nami nikaona kitu mfano wa bahari+ kama kioo iliyochangamana na moto, na wale wanaotokea wakiwa washindi+ kutoka kwa yule mnyama-mwitu na kutoka kwa ile sanamu+ yake na kutoka kwa ile namba+ ya jina lake wakiwa wamesimama kando ya ule mfano wa bahari+ kama kioo, wakiwa na vinubi+ vya Mungu.