23 Naye akatengeneza bahari ya kuyeyushwa+ ya mikono 10 kutoka ukingo wake mmoja mpaka ukingo wake mwingine, iliyo mviringo pande zote; na kimo chake kilikuwa mikono 5, na kamba ya urefu wa mikono 30 ingeweza kuizunguka pande zote.+
39 Kisha akaweka mabehewa matano upande wa kuume wa nyumba, na matano upande wa kushoto wa nyumba;+ nayo bahari akaiweka upande wa kuume wa nyumba upande wa mashariki, kuelekea kusini.+