19 Kama mngekuwa sehemu ya ulimwengu, ulimwengu ungependa kilicho chake.+ Sasa kwa sababu ninyi si sehemu ya ulimwengu, bali nimewachagua ninyi kutoka ulimwenguni,+ kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukia ninyi.+
17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi: warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi+ pamoja na Kristo, mradi tu tunateseka+ pamoja ili pia tutukuzwe pamoja.+
4 Kwa kweli, pia, wakati tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwaambia kimbele+ kwamba tulikusudiwa kupatwa na dhiki,+ kama vile ambavyo imetukia pia na kama mnavyojua.+