22 “Wenye furaha ni ninyi wakati wowote ule watu wanapowachukia+ ninyi, na wakati wowote ule watu wanapowatenga ninyi na kuwashutumu na kulitupa nje+ jina lenu kuwa ovu kwa ajili ya Mwana wa binadamu.
4 Kwa sababu ninyi hamwendelei kukimbia pamoja nao katika mwendo huo kwenda kwenye dimbwi lilelile la chini la upotovu,+ wao wanashangaa na kuendelea kuwatukana ninyi.+