Mathayo 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Wenye furaha ni wale ambao wameteswa+ kwa ajili ya uadilifu, kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni wao. Yohana 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nimewapa neno lako, lakini ulimwengu umewachukia,+ kwa sababu wao si sehemu ya ulimwengu, kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu.+ 1 Petro 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msikiogope kile kitu wanachokiogopa,+ wala msifadhaike.+
14 Nimewapa neno lako, lakini ulimwengu umewachukia,+ kwa sababu wao si sehemu ya ulimwengu, kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu.+
14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msikiogope kile kitu wanachokiogopa,+ wala msifadhaike.+