41 Kwa hiyo, wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia+ kwa sababu walikuwa wamehesabiwa kuwa wenye kustahili kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina lake.+
19 Kwa maana ikiwa mtu, kwa sababu ya dhamiri kwa Mungu, anavumilia chini ya mambo yenye kuhuzunisha naye anateseka isivyo haki, jambo hilo ni lenye kukubalika.+