Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+

  • Mathayo 23:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 nanyi mnasema, ‘Kama tungekuwa katika siku za mababu zetu, hatungekuwa washiriki pamoja nao katika damu ya manabii.’+

  • Luka 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Shangilieni siku hiyo na kuruka, kwa maana, tazama! thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana mambo hayo ndiyo mababu zao walikuwa wakiwafanyia manabii.+

  • Matendo 7:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Ni yupi kati ya manabii ambaye mababu zenu hawakumtesa?+ Ndiyo, waliwaua+ wale waliotangaza kimbele kuhusu kuja kwa Aliye mwadilifu,+ ambaye ninyi sasa mmemsaliti na kumuua,+

  • 1 Wathesalonike 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 waliomuua hata Bwana Yesu+ na manabii+ na kututesa sisi.+ Zaidi ya hayo, wao hawampendezi Mungu, bali wako kinyume cha faida za wanadamu wote,

  • Waebrania 11:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Walipigwa kwa mawe,+ walijaribiwa,+ walikatwa vipande-vipande kwa msumeno, walikufa+ kwa kuuawa kwa upanga, walitembea huku na huku wakiwa wamevikwa ngozi za kondoo,+ wakiwa wamevikwa ngozi za mbuzi, wakiwa katika uhitaji,+ katika dhiki,+ wakitendewa vibaya;+

  • Yakobo 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Akina ndugu, wachukueni manabii+ kuwa kielelezo+ cha kupatwa na uovu+ na kuonyesha subira,+ wale waliosema katika jina la Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki