Matendo 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndiyo, ninyi mlimkana huyo aliye mtakatifu na mwadilifu,+ nanyi mkaomba mpewe kwa hiari mwanamume, muuaji,+ 1 Yohana 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Watoto wangu wadogo, ninawaandikia ninyi mambo haya ili msitende dhambi.+ Na bado, yeyote akitenda dhambi, tuna msaidizi+ kwa Baba, Yesu Kristo, mtu mwadilifu.+
14 Ndiyo, ninyi mlimkana huyo aliye mtakatifu na mwadilifu,+ nanyi mkaomba mpewe kwa hiari mwanamume, muuaji,+
2 Watoto wangu wadogo, ninawaandikia ninyi mambo haya ili msitende dhambi.+ Na bado, yeyote akitenda dhambi, tuna msaidizi+ kwa Baba, Yesu Kristo, mtu mwadilifu.+