Mathayo 27:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini wakuu wa makuhani na wanaume wazee wakaushawishi umati uombe wapewe Baraba,+ lakini Yesu aangamizwe. Luka 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini wakiwa pamoja na umati, wao wote wakapaaza sauti, wakisema: “Mwondolee mbali huyu,+ lakini tufungulie Baraba!”+
20 Lakini wakuu wa makuhani na wanaume wazee wakaushawishi umati uombe wapewe Baraba,+ lakini Yesu aangamizwe.
18 Lakini wakiwa pamoja na umati, wao wote wakapaaza sauti, wakisema: “Mwondolee mbali huyu,+ lakini tufungulie Baraba!”+