Luka 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini wakiwa pamoja na umati, wao wote wakapaaza sauti, wakisema: “Mwondolee mbali huyu,+ lakini tufungulie Baraba!”+ Yohana 18:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Basi wakapaaza sauti tena, wakisema: “Si mtu huyu, bali Baraba!” Basi Baraba alikuwa mnyang’anyi.+ Matendo 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndiyo, ninyi mlimkana huyo aliye mtakatifu na mwadilifu,+ nanyi mkaomba mpewe kwa hiari mwanamume, muuaji,+
18 Lakini wakiwa pamoja na umati, wao wote wakapaaza sauti, wakisema: “Mwondolee mbali huyu,+ lakini tufungulie Baraba!”+
40 Basi wakapaaza sauti tena, wakisema: “Si mtu huyu, bali Baraba!” Basi Baraba alikuwa mnyang’anyi.+
14 Ndiyo, ninyi mlimkana huyo aliye mtakatifu na mwadilifu,+ nanyi mkaomba mpewe kwa hiari mwanamume, muuaji,+