Mathayo 27:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini wakuu wa makuhani na wanaume wazee wakaushawishi umati uombe wapewe Baraba,+ lakini Yesu aangamizwe. Marko 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini wakuu wa makuhani wakauchochea umati ili umfanye awafungulie Baraba, badala yake.+ Yohana 18:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Basi wakapaaza sauti tena, wakisema: “Si mtu huyu, bali Baraba!” Basi Baraba alikuwa mnyang’anyi.+
20 Lakini wakuu wa makuhani na wanaume wazee wakaushawishi umati uombe wapewe Baraba,+ lakini Yesu aangamizwe.
40 Basi wakapaaza sauti tena, wakisema: “Si mtu huyu, bali Baraba!” Basi Baraba alikuwa mnyang’anyi.+