Methali 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hiyo ndiyo sababu msiba wake utakuja ghafula;+ atavunjwa ghafula, wala hatapona.+ Methali 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+
29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+