2 Mambo ya Nyakati 36:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+ Zaburi 50:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Tafadhali, enyi mnaomsahau Mungu eleweni hili,+Nisije nikawararua vipande-vipande bila ya kuwa na mkombozi.+
16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+
22 Tafadhali, enyi mnaomsahau Mungu eleweni hili,+Nisije nikawararua vipande-vipande bila ya kuwa na mkombozi.+