Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 36:1

Marejeo

  • +1Nya 3:15; Yer 22:11
  • +2Fa 23:30

2 Mambo ya Nyakati 36:2

Marejeo

  • +2Fa 23:31

2 Mambo ya Nyakati 36:3

Marejeo

  • +2Fa 23:33
  • +2Fa 18:14; 2Nya 27:5

2 Mambo ya Nyakati 36:4

Marejeo

  • +2Nya 35:20
  • +2Fa 23:34
  • +2Fa 23:29; Yer 46:2
  • +Yer 22:12

2 Mambo ya Nyakati 36:5

Marejeo

  • +Yer 26:21; 36:32
  • +2Fa 23:36
  • +2Fa 23:37

2 Mambo ya Nyakati 36:6

Marejeo

  • +2Fa 25:1; Ezr 1:7; Yer 25:1; Da 1:1
  • +2Fa 24:1
  • +2Fa 24:16

2 Mambo ya Nyakati 36:7

Marejeo

  • +2Fa 24:13; Ezr 1:7; Yer 27:16
  • +Da 1:2
  • +Da 5:2

2 Mambo ya Nyakati 36:8

Marejeo

  • +2Nya 25:26
  • +1Fa 11:5; 2Nya 34:33
  • +2Fa 24:5; 2Nya 35:27
  • +2Fa 24:6

2 Mambo ya Nyakati 36:9

Marejeo

  • +Yer 22:24; Mt 1:12
  • +2Fa 24:8
  • +1Fa 15:26; 22:52; 2Fa 15:24

2 Mambo ya Nyakati 36:10

Marejeo

  • +2Sa 11:1; 1Fa 20:22; 2Fa 13:20
  • +2Fa 24:10
  • +Yer 29:2; Eze 1:2; 19:9
  • +2Fa 24:13; Yer 27:18; Da 5:23
  • +Yer 52:3
  • +2Fa 24:17

2 Mambo ya Nyakati 36:11

Marejeo

  • +1Nya 3:15; Yer 37:1
  • +2Fa 24:18; Yer 52:1

2 Mambo ya Nyakati 36:12

Marejeo

  • +2Fa 21:2; 23:32
  • +Kut 10:3; 2Nya 32:26; Da 5:22; Yak 4:10; 1Pe 5:6
  • +Yer 38:14
  • +Yer 21:1; 34:2

2 Mambo ya Nyakati 36:13

Marejeo

  • +2Fa 24:20; Yer 52:3; Eze 17:15
  • +Yos 9:15; 2Sa 21:2
  • +2Fa 17:14; Ne 9:16; Met 29:1
  • +Kut 9:17; Met 28:14

2 Mambo ya Nyakati 36:14

Marejeo

  • +2Fa 16:11
  • +2Nya 28:3
  • +2Nya 33:4

2 Mambo ya Nyakati 36:15

Marejeo

  • +2Nya 7:20
  • +Amu 10:16; 2Fa 13:23
  • +2Nya 6:2

2 Mambo ya Nyakati 36:16

Marejeo

  • +2Nya 30:10; Zb 35:16
  • +Met 1:24; Yer 5:12
  • +Yer 20:7
  • +Kum 29:28; 2Nya 34:21; Zb 74:1
  • +Met 6:15; 29:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    6/8/2003, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    g03 6/8 19

2 Mambo ya Nyakati 36:17

Marejeo

  • +Mwa 11:28; 2Fa 24:2
  • +Law 26:31; Kum 28:25; Zb 79:2
  • +Eze 9:7
  • +Kum 28:50; Omb 2:21

2 Mambo ya Nyakati 36:18

Marejeo

  • +Yer 27:18
  • +Yer 52:17
  • +2Fa 12:18; Isa 39:6
  • +2Fa 20:13; 2Nya 25:24

2 Mambo ya Nyakati 36:19

Marejeo

  • +2Fa 25:9; Zb 74:7; 79:1
  • +2Fa 25:10; Yer 52:14
  • +Zb 74:6
  • +1Fa 9:7; 2Nya 7:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” kur. 68-69, 156

2 Mambo ya Nyakati 36:20

Marejeo

  • +2Fa 25:21; Zb 137:1
  • +Yer 27:7
  • +Ezr 1:1

2 Mambo ya Nyakati 36:21

Marejeo

  • +Yer 25:9
  • +Law 26:34
  • +Yer 25:12; Zek 1:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2006, uku. 32

    “Kila Andiko,” kur. 84, 285

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 11/15 32

2 Mambo ya Nyakati 36:22

Marejeo

  • +Isa 44:28; 45:1; Da 10:1
  • +Ezr 1:2
  • +Yer 29:14
  • +Yer 32:42; 33:10
  • +Hag 1:14
  • +Ezr 1:1

2 Mambo ya Nyakati 36:23

Marejeo

  • +Ezr 1:2
  • +Zb 75:7; Da 2:37; 4:35; 5:18
  • +Isa 44:28
  • +1Nya 29:5; Ezr 7:13
  • +Ro 8:31
  • +1Nya 22:16; Zek 2:7

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 36:11Nya 3:15; Yer 22:11
2 Nya. 36:12Fa 23:30
2 Nya. 36:22Fa 23:31
2 Nya. 36:32Fa 23:33
2 Nya. 36:32Fa 18:14; 2Nya 27:5
2 Nya. 36:42Nya 35:20
2 Nya. 36:42Fa 23:34
2 Nya. 36:42Fa 23:29; Yer 46:2
2 Nya. 36:4Yer 22:12
2 Nya. 36:5Yer 26:21; 36:32
2 Nya. 36:52Fa 23:36
2 Nya. 36:52Fa 23:37
2 Nya. 36:62Fa 25:1; Ezr 1:7; Yer 25:1; Da 1:1
2 Nya. 36:62Fa 24:1
2 Nya. 36:62Fa 24:16
2 Nya. 36:72Fa 24:13; Ezr 1:7; Yer 27:16
2 Nya. 36:7Da 1:2
2 Nya. 36:7Da 5:2
2 Nya. 36:82Nya 25:26
2 Nya. 36:81Fa 11:5; 2Nya 34:33
2 Nya. 36:82Fa 24:5; 2Nya 35:27
2 Nya. 36:82Fa 24:6
2 Nya. 36:9Yer 22:24; Mt 1:12
2 Nya. 36:92Fa 24:8
2 Nya. 36:91Fa 15:26; 22:52; 2Fa 15:24
2 Nya. 36:102Sa 11:1; 1Fa 20:22; 2Fa 13:20
2 Nya. 36:102Fa 24:10
2 Nya. 36:10Yer 29:2; Eze 1:2; 19:9
2 Nya. 36:102Fa 24:13; Yer 27:18; Da 5:23
2 Nya. 36:10Yer 52:3
2 Nya. 36:102Fa 24:17
2 Nya. 36:111Nya 3:15; Yer 37:1
2 Nya. 36:112Fa 24:18; Yer 52:1
2 Nya. 36:122Fa 21:2; 23:32
2 Nya. 36:12Kut 10:3; 2Nya 32:26; Da 5:22; Yak 4:10; 1Pe 5:6
2 Nya. 36:12Yer 38:14
2 Nya. 36:12Yer 21:1; 34:2
2 Nya. 36:132Fa 24:20; Yer 52:3; Eze 17:15
2 Nya. 36:13Yos 9:15; 2Sa 21:2
2 Nya. 36:132Fa 17:14; Ne 9:16; Met 29:1
2 Nya. 36:13Kut 9:17; Met 28:14
2 Nya. 36:142Fa 16:11
2 Nya. 36:142Nya 28:3
2 Nya. 36:142Nya 33:4
2 Nya. 36:152Nya 7:20
2 Nya. 36:15Amu 10:16; 2Fa 13:23
2 Nya. 36:152Nya 6:2
2 Nya. 36:162Nya 30:10; Zb 35:16
2 Nya. 36:16Met 1:24; Yer 5:12
2 Nya. 36:16Yer 20:7
2 Nya. 36:16Kum 29:28; 2Nya 34:21; Zb 74:1
2 Nya. 36:16Met 6:15; 29:1
2 Nya. 36:17Mwa 11:28; 2Fa 24:2
2 Nya. 36:17Law 26:31; Kum 28:25; Zb 79:2
2 Nya. 36:17Eze 9:7
2 Nya. 36:17Kum 28:50; Omb 2:21
2 Nya. 36:18Yer 27:18
2 Nya. 36:18Yer 52:17
2 Nya. 36:182Fa 12:18; Isa 39:6
2 Nya. 36:182Fa 20:13; 2Nya 25:24
2 Nya. 36:192Fa 25:9; Zb 74:7; 79:1
2 Nya. 36:192Fa 25:10; Yer 52:14
2 Nya. 36:19Zb 74:6
2 Nya. 36:191Fa 9:7; 2Nya 7:21
2 Nya. 36:202Fa 25:21; Zb 137:1
2 Nya. 36:20Yer 27:7
2 Nya. 36:20Ezr 1:1
2 Nya. 36:21Yer 25:9
2 Nya. 36:21Law 26:34
2 Nya. 36:21Yer 25:12; Zek 1:12
2 Nya. 36:22Isa 44:28; 45:1; Da 10:1
2 Nya. 36:22Ezr 1:2
2 Nya. 36:22Yer 29:14
2 Nya. 36:22Yer 32:42; 33:10
2 Nya. 36:22Hag 1:14
2 Nya. 36:22Ezr 1:1
2 Nya. 36:23Ezr 1:2
2 Nya. 36:23Zb 75:7; Da 2:37; 4:35; 5:18
2 Nya. 36:23Isa 44:28
2 Nya. 36:231Nya 29:5; Ezr 7:13
2 Nya. 36:23Ro 8:31
2 Nya. 36:231Nya 22:16; Zek 2:7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 36:1-23

2 Mambo ya Nyakati

36 Kisha watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi+ mwana wa Yosia na kumfanya kuwa mfalme mahali pa baba yake katika Yerusalemu.+ 2 Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka 23 alipoanza kutawala, naye akatawala miezi mitatu katika Yerusalemu.+ 3 Hata hivyo, mfalme wa Misri akamwondoa Yerusalemu+ na kuitoza nchi talanta mia moja za fedha+ na talanta moja ya dhahabu. 4 Zaidi ya hayo, mfalme+ wa Misri akamfanya Eliakimu+ ndugu yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu na kulibadili jina lake kuwa Yehoyakimu; lakini Neko+ akamchukua Yehoahazi ndugu yake na kumpeleka Misri.+

5 Yehoyakimu+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu;+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova Mungu wake.+ 6 Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akapanda+ kuja kumshambulia ili amfunge kwa pingu mbili za shaba apate kumchukua mpaka Babiloni.+ 7 Na sehemu ya vyombo+ vya nyumba ya Yehova, Nebukadneza+ akavipeleka Babiloni kisha akaviweka katika jumba lake la kifalme kule Babiloni.+ 8 Na yale mambo mengine+ ya Yehoyakimu na machukizo+ yake aliyoyatenda na mambo yaliyopatikana juu yake, tazama, yameandikwa katika Kitabu+ cha Wafalme wa Israeli na Yuda; na Yehoyakini+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

9 Yehoyakini+ alikuwa na umri wa miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala miezi mitatu+ na siku kumi katika Yerusalemu; naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ 10 Na mwanzoni+ mwa mwaka Mfalme Nebukadneza akatuma watu,+ akamleta Babiloni+ pamoja na vyombo vyenye kutamanika vya nyumba ya Yehova.+ Tena akamfanya Sedekia+ ndugu ya baba yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu.+

11 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu.+ 12 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova Mungu wake. Hakujinyenyekeza+ kwa ajili ya nabii+ Yeremia+ kwa agizo la Yehova. 13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli. 14 Hata wakuu wote wa makuhani+ na watu wenyewe wakatenda kwa ukosefu wa uaminifu kwa kiasi kikubwa, kulingana na machukizo+ yote ya mataifa, hivi kwamba wakaitia unajisi nyumba ya Yehova aliyokuwa ameitakasa katika Yerusalemu.+

15 Na Yehova Mungu wa mababu zao akaendelea kutuma juu yao kupitia kwa wajumbe wake,+ akatuma tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake+ na makao yake.+ 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+

17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake. 18 Na vyombo+ vyote, vikubwa+ kwa vidogo, vya nyumba ya Mungu wa kweli na hazina za nyumba ya Yehova na hazina+ za mfalme+ na za wakuu wake, kila kitu akakipeleka Babiloni. 19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+ 20 Tena akawachukua mateka mpaka Babiloni wale waliobaki kutokana na upanga,+ nao wakawa watumishi wake+ na wa wanawe mpaka mamlaka ya kifalme ya Uajemi+ ilipoanza kutawala; 21 ili kulitimiza neno la Yehova kupitia kinywa cha Yeremia,+ mpaka nchi ilipokuwa imelipa sabato zake.+ Siku zote za kukaa ukiwa ilishika sabato, ili kutimiza miaka 70.+

22 Na katika mwaka wa kwanza wa Koreshi+ mfalme wa Uajemi,+ ili neno la Yehova+ kupitia kinywa cha Yeremia+ litimizwe, Yehova aliiamsha roho+ ya Koreshi mfalme wa Uajemi, hivi kwamba akatangaza mwito katika ufalme wake wote, na pia kwa maandishi,+ akisema: 23 “Koreshi mfalme wa Uajemi+ amesema hivi, ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipa falme zote za dunia,+ naye mwenyewe amenipa utume nimjengee nyumba katika Yerusalemu, huko Yuda.+ Yeyote aliye katikati yenu ninyi watu wake wote,+ Yehova Mungu wake na awe pamoja naye.+ Basi apande na kwenda.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki