2 Mambo ya Nyakati 36:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova Mungu wake. Hakujinyenyekeza mbele ya nabii Yeremia,+ aliyesema mambo aliyoagizwa na Yehova.
12 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova Mungu wake. Hakujinyenyekeza mbele ya nabii Yeremia,+ aliyesema mambo aliyoagizwa na Yehova.