-
Yeremia 21:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Yeremia alipokea neno kutoka kwa Yehova wakati Mfalme Sedekia+ alipomtuma kwake Pashuri+ mwana wa Malkiya na Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, akiomba hivi: 2 “Tafadhali mwombe Yehova ushauri kwa ajili yetu, kwa sababu Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni anapigana vita dhidi yetu.+ Labda Yehova atatutendea mojawapo ya matendo yake yanayostaajabisha, ili mfalme huyo atuache na kwenda zake.”+
-
-
Yeremia 38:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Mfalme Sedekia akaagiza Yeremia aletwe kwake kwenye mlango wa tatu, ulio katika nyumba ya Yehova, naye mfalme akamwambia Yeremia: “Ningependa kukuuliza jambo fulani. Usinifiche jambo lolote.”
-
-
Yeremia 38:24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Kisha Sedekia akamwambia Yeremia: “Usimwambie mtu yeyote mambo haya, ili usife.
-