-
Yeremia 32:28, 29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
28 Basi Yehova anasema hivi: ‘Tazama, ninalitia jiji hili mikononi mwa Wakaldayo na mikononi mwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni, naye ataliteka.+ 29 Na Wakaldayo wanaolishambulia jiji hili wataingia na kulichoma moto jiji hili na kuliteketeza+ pamoja na nyumba ambazo juu ya paa zake watu walimtolea dhabihu Baali na kuitolea miungu mingine matoleo ya kinywaji ili kunikasirisha.’+
-