Yeremia 32:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninalitia jiji hili katika mkono wa Wakaldayo na katika mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, naye lazima ataliteka.+
28 Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninalitia jiji hili katika mkono wa Wakaldayo na katika mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, naye lazima ataliteka.+