Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na jiji likabomolewa,+ na watu wote wa vita wakakimbia wakati wa usiku kupitia njia ya lango lililo kati ya zile kuta mbili kando ya bustani ya mfalme,+ huku Wakaldayo+ wakiwa wamelizunguka jiji pande zote; naye mfalme akaanza kwenda+ kuelekea upande wa Araba.+

  • Yeremia 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nami nitavitoa vitu vyote vya jiji hili vilivyowekwa akiba na mazao yake yote na vitu vyake vyote vyenye thamani; na hazina zote za wafalme wa Yuda nitazitia mkononi mwa adui zao.+ Na hakika wao watavipora na kuvichukua na kuvipeleka Babiloni.+

  • Yeremia 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ‘Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi: “Tazama, ninazigeuza nyuma silaha za vita zilizo mkononi mwenu, mnazotumia kupigana na mfalme wa Babiloni,+ na Wakaldayo+ wanaowazingira ninyi nje ya ukuta, nami nitazikusanya katikati ya jiji hili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki