Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 39:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Katika mwaka wa kumi na moja wa Sedekia, katika mwezi wa nne, katika siku ya tisa ya mwezi huo, jiji likapenywa.+

  • Yeremia 52:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwishowe jiji likapenywa;+ nao watu wote wa vita, wakaanza kukimbia+ na kutoka katika jiji wakati wa usiku kupitia njia ya lango lililo kati ya zile kuta mbili kando ya bustani ya mfalme,+ huku Wakaldayo wakiwa wamelizunguka jiji pande zote; nao wakaendelea kwenda kupitia njia ya Araba.+

  • Ezekieli 33:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mwishowe ikatukia kwamba katika mwaka wa kumi na mbili, katika mwezi wa kumi, siku ya tano ya mwezi wa uhamisho wetu, mtu aliyeponyoka kutoka Yerusalemu akanijia,+ akisema: “Jiji limepigwa na kuangushwa!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki