7 Mwishowe jiji likapenywa;+ nao watu wote wa vita, wakaanza kukimbia+ na kutoka katika jiji wakati wa usiku kupitia njia ya lango lililo kati ya zile kuta mbili kando ya bustani ya mfalme,+ huku Wakaldayo wakiwa wamelizunguka jiji pande zote; nao wakaendelea kwenda kupitia njia ya Araba.+
21 Mwishowe ikatukia kwamba katika mwaka wa kumi na mbili, katika mwezi wa kumi, siku ya tano ya mwezi wa uhamisho wetu, mtu aliyeponyoka kutoka Yerusalemu akanijia,+ akisema: “Jiji limepigwa na kuangushwa!”+