4 Na jiji likabomolewa,+ na watu wote wa vita wakakimbia wakati wa usiku kupitia njia ya lango lililo kati ya zile kuta mbili kando ya bustani ya mfalme,+ huku Wakaldayo+ wakiwa wamelizunguka jiji pande zote; naye mfalme akaanza kwenda+ kuelekea upande wa Araba.+
2 “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Nenda, umwambie Sedekia mfalme wa Yuda,+ ndiyo, umwambie hivi: “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninalitia jiji hili mkononi mwa mfalme wa Babiloni,+ naye ataliteketeza kwa moto.+