2 Mambo ya Nyakati 36:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu.+ Yeremia 37:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia+ akaanza kutawala mahali pa Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimfanya kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+
11 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu.+
37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia+ akaanza kutawala mahali pa Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimfanya kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+