2 Wafalme 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tena mfalme wa Babiloni+ akamfanya Matania ndugu ya baba yake+ kuwa mfalme mahali pake. Kisha akabadili jina lake kuwa Sedekia.+ 2 Mambo ya Nyakati 36:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mwanzoni+ mwa mwaka Mfalme Nebukadneza akatuma watu,+ akamleta Babiloni+ pamoja na vyombo vyenye kutamanika vya nyumba ya Yehova.+ Tena akamfanya Sedekia+ ndugu ya baba yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu.+
17 Tena mfalme wa Babiloni+ akamfanya Matania ndugu ya baba yake+ kuwa mfalme mahali pake. Kisha akabadili jina lake kuwa Sedekia.+
10 Na mwanzoni+ mwa mwaka Mfalme Nebukadneza akatuma watu,+ akamleta Babiloni+ pamoja na vyombo vyenye kutamanika vya nyumba ya Yehova.+ Tena akamfanya Sedekia+ ndugu ya baba yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu.+