Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka,+ wakati ambapo wafalme hufanya mashambulizi,+ Daudi akamtuma Yoabu na watumishi wake pamoja naye na Israeli wote, ili wawaangamize wana wa Amoni+ na kuzingira Raba,+ Daudi alipokuwa anakaa Yerusalemu.

  • 1 Wafalme 20:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baadaye yule nabii+ akamkaribia mfalme wa Israeli na kumwambia: “Nenda, jitie nguvu+ na ujue na kuona utakalofanya;+ kwa maana mwanzoni mwa mwaka mfalme wa Siria atakuja kukushambulia.”+

  • 2 Wafalme 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kisha Elisha akafa, nao wakamzika.+ Na palikuwa na vikundi vya waporaji+ vya Wamoabu+ waliokuja kwa ukawaida katika nchi mwanzoni mwa mwaka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki