11Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka,+ wakati ambapo wafalme hufanya mashambulizi,+ Daudi akamtuma Yoabu na watumishi wake pamoja naye na Israeli wote, ili wawaangamize wana wa Amoni+ na kuzingira Raba,+ Daudi alipokuwa anakaa Yerusalemu.
22 Baadaye yule nabii+ akamkaribia mfalme wa Israeli na kumwambia: “Nenda, jitie nguvu+ na ujue na kuona utakalofanya;+ kwa maana mwanzoni mwa mwaka mfalme wa Siria atakuja kukushambulia.”+