Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka,+ wakati ambapo wafalme hufanya mashambulizi,+ Daudi akamtuma Yoabu na watumishi wake pamoja naye na Israeli wote, ili wawaangamize wana wa Amoni+ na kuzingira Raba,+ Daudi alipokuwa anakaa Yerusalemu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka,+ wakati ambapo wafalme hufanya mashambulizi,+ Yoabu akaongoza jeshi la mapambano,+ akaiharibu nchi ya wana wa Amoni, akaenda kuzingira Raba,+ Daudi alipokuwa anakaa katika Yerusalemu; na Yoabu akapiga+ Raba na kulibomoa.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mwanzoni+ mwa mwaka Mfalme Nebukadneza akatuma watu,+ akamleta Babiloni+ pamoja na vyombo vyenye kutamanika vya nyumba ya Yehova.+ Tena akamfanya Sedekia+ ndugu ya baba yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki