Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 20:1

Marejeo

  • +1Fa 20:26
  • +2Sa 11:1; Mhu 3:8
  • +1Nya 11:6
  • +Kum 3:11
  • +2Sa 12:26

1 Mambo ya Nyakati 20:2

Marejeo

  • +2Sa 12:30
  • +2Sa 8:11; 1Nya 18:11

1 Mambo ya Nyakati 20:3

Marejeo

  • +1Fa 9:21
  • +2Sa 12:31

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    2/15/2005, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 2/15 27

1 Mambo ya Nyakati 20:4

Marejeo

  • +2Sa 21:18
  • +2Sa 21:15
  • +1Nya 11:29
  • +Kum 3:13

1 Mambo ya Nyakati 20:5

Marejeo

  • +2Sa 21:19
  • +1Sa 17:4; 21:9; 22:10
  • +1Sa 17:7; 1Nya 11:23

1 Mambo ya Nyakati 20:6

Marejeo

  • +Yos 11:22; 1Sa 7:14
  • +Hes 13:33; Kum 2:10; 3:11
  • +2Sa 21:20
  • +2Sa 21:16

1 Mambo ya Nyakati 20:7

Marejeo

  • +Kum 32:27; 1Sa 17:10; 2Fa 19:22
  • +1Nya 2:13

1 Mambo ya Nyakati 20:8

Marejeo

  • +Kum 2:11
  • +1Sa 17:4
  • +1Sa 20:15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 20:11Fa 20:26
1 Nya. 20:12Sa 11:1; Mhu 3:8
1 Nya. 20:11Nya 11:6
1 Nya. 20:1Kum 3:11
1 Nya. 20:12Sa 12:26
1 Nya. 20:22Sa 12:30
1 Nya. 20:22Sa 8:11; 1Nya 18:11
1 Nya. 20:31Fa 9:21
1 Nya. 20:32Sa 12:31
1 Nya. 20:42Sa 21:18
1 Nya. 20:42Sa 21:15
1 Nya. 20:41Nya 11:29
1 Nya. 20:4Kum 3:13
1 Nya. 20:52Sa 21:19
1 Nya. 20:51Sa 17:4; 21:9; 22:10
1 Nya. 20:51Sa 17:7; 1Nya 11:23
1 Nya. 20:6Yos 11:22; 1Sa 7:14
1 Nya. 20:6Hes 13:33; Kum 2:10; 3:11
1 Nya. 20:62Sa 21:20
1 Nya. 20:62Sa 21:16
1 Nya. 20:7Kum 32:27; 1Sa 17:10; 2Fa 19:22
1 Nya. 20:71Nya 2:13
1 Nya. 20:8Kum 2:11
1 Nya. 20:81Sa 17:4
1 Nya. 20:81Sa 20:15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 20:1-8

1 Mambo ya Nyakati

20 Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka,+ wakati ambapo wafalme hufanya mashambulizi,+ Yoabu akaongoza jeshi la mapambano,+ akaiharibu nchi ya wana wa Amoni, akaenda kuzingira Raba,+ Daudi alipokuwa anakaa katika Yerusalemu; na Yoabu akapiga+ Raba na kulibomoa. 2 Lakini Daudi akaliondoa taji la Malkamu kutoka juu ya kichwa chake,+ naye akakuta likiwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu, na ndani yake mlikuwa na mawe ya thamani; nalo likaja kuwa juu ya kichwa cha Daudi. Na nyara za jiji lile ambazo alileta zilikuwa nyingi sana.+ 3 Na watu waliokuwa ndani yake akawatoa nje, akawatia kwenye kazi+ ya kukata mawe kwa misumeno na ya vifaa vya chuma vyenye ncha kali na ya mashoka;+ na hivyo ndivyo Daudi alivyoyafanya majiji yote ya wana wa Amoni. Mwishowe Daudi na watu wote wakarudi Yerusalemu.

4 Na ikawa kwamba baada ya hayo vita vikaanza kutokea na Wafilisti+ kule Gezeri.+ Ndipo Sibekai+ Mhusha akampiga Sipai wa wale waliozaliwa kwa Refaimu,+ hivi kwamba wakashindwa.

5 Na kukawa na vita tena na Wafilisti; na Elhanani+ mwana wa Yairi akampiga Lahmi ndugu ya Goliathi+ Mgathi, ambaye mpini wa mkuki wake ulikuwa kama mti wa wafumaji wa nguo.+

6 Na kukawa na vita tena katika Gathi,+ wakati kulipokuwa na mtu mwenye ukubwa usio wa kawaida,+ ambaye vidole vyake vya mikono na vidole vyake vya miguu vilikuwa sita sita, jumla 24;+ naye pia alikuwa amezaliwa kwa Refaimu.+ 7 Naye akaendelea kudhihaki+ Israeli. Mwishowe Yonathani mwana wa Shimea+ ndugu ya Daudi akampiga na kumuua.

8 Hao ndio waliokuwa wamezaliwa kwa Refaimu+ katika Gathi;+ nao wakaanguka+ kwa mkono wa Daudi na kwa mkono wa watumishi wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki