Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na watu waliokuwa ndani yake, akawatoa nje ili awatie kwenye kazi ya kukata mawe kwa misumeno na ya vifaa vya chuma vyenye ncha kali+ na ya mashoka ya chuma, naye akawafanya watumike kufyatua matofali. Na hivyo ndivyo alivyoyafanya majiji yote ya wana wa Amoni. Mwishowe Daudi na watu wote wakarudi Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki