3 Na watu waliokuwa ndani yake akawatoa nje, akawatia kwenye kazi+ ya kukata mawe kwa misumeno na ya vifaa vya chuma vyenye ncha kali na ya mashoka;+ na hivyo ndivyo Daudi alivyoyafanya majiji yote ya wana wa Amoni. Mwishowe Daudi na watu wote wakarudi Yerusalemu.