Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Samweli 12:1

Marejeo

  • +1Fa 1:8; 1Nya 17:1; 29:29
  • +Zb 51:utangulizi

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    5/1/2010, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 5/1 30

2 Samweli 12:2

Marejeo

  • +2Sa 5:13; 15:16

2 Samweli 12:3

Marejeo

  • +2Sa 11:3; Met 5:15

2 Samweli 12:4

Marejeo

  • +2Sa 11:4

2 Samweli 12:5

Marejeo

  • +Lu 6:41
  • +Kum 6:13
  • +1Sa 26:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    5/1/2010, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 5/1 30

2 Samweli 12:6

Marejeo

  • +Kut 21:34
  • +Kut 22:1
  • +2Sa 21:7

2 Samweli 12:7

Marejeo

  • +1Sa 16:13; 2Sa 7:8
  • +1Sa 18:11; 19:10; 23:14; Zb 18:utangulizi

2 Samweli 12:8

Marejeo

  • +1Sa 13:14; 15:28
  • +2Sa 3:7; 1Fa 2:22
  • +2Sa 2:4; 5:5
  • +2Sa 7:19; Zb 84:11; Yak 1:17

2 Samweli 12:9

Marejeo

  • +Kut 20:13, 14, 17
  • +2Sa 11:15
  • +2Sa 11:27; Ebr 13:4

2 Samweli 12:10

Marejeo

  • +2Sa 13:32; 18:33
  • +Hes 14:18; Gal 6:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    5/1/2010, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 5/1 30

2 Samweli 12:11

Marejeo

  • +2Sa 12:19; 13:14; 15:14
  • +Kut 21:24; Ayu 31:10; 34:11
  • +2Sa 16:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 62

2 Samweli 12:12

Marejeo

  • +2Sa 11:4, 8, 13, 15
  • +2Sa 16:22
  • +Mt 10:26; Lu 12:2

2 Samweli 12:13

Marejeo

  • +Zb 51:utangulizi
  • +Mwa 39:9; Zb 32:5; 38:3; 51:4; Met 28:13
  • +Kut 34:6; Zb 32:1; 130:4; Mik 7:18
  • +Law 20:10; Zb 103:10

2 Samweli 12:14

Marejeo

  • +Zb 51:4
  • +Kut 34:7; Kum 23:2; Zb 89:32; Met 3:11; Ebr 12:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/1986, uku. 31

2 Samweli 12:15

Marejeo

  • +1Sa 25:38; 2Sa 24:15

2 Samweli 12:16

Marejeo

  • +2Sa 12:22; Yon 3:9
  • +2Sa 13:31

2 Samweli 12:17

Marejeo

  • +2Sa 3:35

2 Samweli 12:20

Marejeo

  • +Ru 3:3; 2Sa 14:2
  • +2Sa 6:17; Zb 5:7
  • +Mwa 24:26; 1Nya 29:20; Ne 8:6; Zb 95:6

2 Samweli 12:22

Marejeo

  • +2Sa 12:16; Yoe 1:14
  • +Isa 38:3
  • +Isa 38:5; Yoe 2:14; Amo 5:15; Yon 3:9

2 Samweli 12:23

Marejeo

  • +Mhu 9:6; Isa 26:14
  • +Ayu 30:23; Mhu 3:20; 9:10; Mdo 2:29, 34; 13:36; Ro 5:12
  • +Mhu 9:5

2 Samweli 12:24

Marejeo

  • +2Sa 11:3; 12:9
  • +Zb 127:3
  • +1Nya 3:5; 22:9; 28:5; Mt 1:6
  • +2Sa 7:12; 1Nya 29:1

2 Samweli 12:25

Marejeo

  • +2Sa 7:4; 12:1; 1Fa 1:8

2 Samweli 12:26

Marejeo

  • +2Sa 11:25; 1Nya 20:1
  • +Kum 3:11; 23:6; Yos 13:25; Yer 49:3

2 Samweli 12:27

Marejeo

  • +2Sa 11:1

2 Samweli 12:30

Marejeo

  • +1Nya 20:2
  • +Yos 22:8; 1Sa 30:20; 2Sa 3:22; 8:11

2 Samweli 12:31

Marejeo

  • +1Nya 20:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    2/15/2005, uku. 27

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 2/15 27

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Sam. 12:11Fa 1:8; 1Nya 17:1; 29:29
2 Sam. 12:1Zb 51:utangulizi
2 Sam. 12:22Sa 5:13; 15:16
2 Sam. 12:32Sa 11:3; Met 5:15
2 Sam. 12:42Sa 11:4
2 Sam. 12:5Lu 6:41
2 Sam. 12:5Kum 6:13
2 Sam. 12:51Sa 26:16
2 Sam. 12:6Kut 21:34
2 Sam. 12:6Kut 22:1
2 Sam. 12:62Sa 21:7
2 Sam. 12:71Sa 16:13; 2Sa 7:8
2 Sam. 12:71Sa 18:11; 19:10; 23:14; Zb 18:utangulizi
2 Sam. 12:81Sa 13:14; 15:28
2 Sam. 12:82Sa 3:7; 1Fa 2:22
2 Sam. 12:82Sa 2:4; 5:5
2 Sam. 12:82Sa 7:19; Zb 84:11; Yak 1:17
2 Sam. 12:9Kut 20:13, 14, 17
2 Sam. 12:92Sa 11:15
2 Sam. 12:92Sa 11:27; Ebr 13:4
2 Sam. 12:102Sa 13:32; 18:33
2 Sam. 12:10Hes 14:18; Gal 6:7
2 Sam. 12:112Sa 12:19; 13:14; 15:14
2 Sam. 12:11Kut 21:24; Ayu 31:10; 34:11
2 Sam. 12:112Sa 16:21
2 Sam. 12:122Sa 11:4, 8, 13, 15
2 Sam. 12:122Sa 16:22
2 Sam. 12:12Mt 10:26; Lu 12:2
2 Sam. 12:13Zb 51:utangulizi
2 Sam. 12:13Mwa 39:9; Zb 32:5; 38:3; 51:4; Met 28:13
2 Sam. 12:13Kut 34:6; Zb 32:1; 130:4; Mik 7:18
2 Sam. 12:13Law 20:10; Zb 103:10
2 Sam. 12:14Zb 51:4
2 Sam. 12:14Kut 34:7; Kum 23:2; Zb 89:32; Met 3:11; Ebr 12:6
2 Sam. 12:151Sa 25:38; 2Sa 24:15
2 Sam. 12:162Sa 12:22; Yon 3:9
2 Sam. 12:162Sa 13:31
2 Sam. 12:172Sa 3:35
2 Sam. 12:20Ru 3:3; 2Sa 14:2
2 Sam. 12:202Sa 6:17; Zb 5:7
2 Sam. 12:20Mwa 24:26; 1Nya 29:20; Ne 8:6; Zb 95:6
2 Sam. 12:222Sa 12:16; Yoe 1:14
2 Sam. 12:22Isa 38:3
2 Sam. 12:22Isa 38:5; Yoe 2:14; Amo 5:15; Yon 3:9
2 Sam. 12:23Mhu 9:6; Isa 26:14
2 Sam. 12:23Ayu 30:23; Mhu 3:20; 9:10; Mdo 2:29, 34; 13:36; Ro 5:12
2 Sam. 12:23Mhu 9:5
2 Sam. 12:242Sa 11:3; 12:9
2 Sam. 12:24Zb 127:3
2 Sam. 12:241Nya 3:5; 22:9; 28:5; Mt 1:6
2 Sam. 12:242Sa 7:12; 1Nya 29:1
2 Sam. 12:252Sa 7:4; 12:1; 1Fa 1:8
2 Sam. 12:262Sa 11:25; 1Nya 20:1
2 Sam. 12:26Kum 3:11; 23:6; Yos 13:25; Yer 49:3
2 Sam. 12:272Sa 11:1
2 Sam. 12:301Nya 20:2
2 Sam. 12:30Yos 22:8; 1Sa 30:20; 2Sa 3:22; 8:11
2 Sam. 12:311Nya 20:3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Samweli 12:1-31

2 Samweli

12 Na Yehova akamtuma Nathani+ kwa Daudi. Basi akaja, akaingia kwake+ na kumwambia: “Palikuwa na wanaume wawili waliokuwa katika jiji moja, mmoja alikuwa tajiri na yule mwingine alikuwa maskini. 2 Yule mwanamume tajiri alikuwa na kondoo na ng’ombe wengi sana;+ 3 lakini yule mwanamume maskini hakuwa na chochote isipokuwa mwana-kondoo jike mmoja, aliye mdogo, ambaye alikuwa amenunua.+ Naye alikuwa akimhifadhi hai, na huyo kondoo alikuwa akikua pamoja naye na wanawe, wote pamoja. Kondoo huyo alikuwa akila tonge lake, na kunywa kutoka katika kikombe chake, naye alikuwa akilala kifuani pake, na kondoo huyo akawa kama binti kwake. 4 Baada ya muda, mgeni akaja kwa yule mwanamume tajiri, lakini hakuchukua kutoka kati ya kondoo zake na ng’ombe zake ili kumwandalia yule msafiri aliyekuja kwake. Kwa hiyo akachukua yule mwana-kondoo jike wa yule mwanamume maskini, akamwandalia yule mtu aliyekuja kwake.”+

5 Ndipo hasira ya Daudi ikamwakia sana yule mwanamume,+ naye akamwambia Nathani: “Kama Yehova anavyoishi,+ mtu huyo aliyefanya hivyo anastahili kufa!+ 6 Na kuhusu yule mwana-kondoo jike, atamlipa+ mara nne,+ kwa sababu yeye amefanya jambo hili na kwa sababu hakuwa na huruma.”+

7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Wewe mwenyewe ndiye yule mwanamume! Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mimi nilikutia mafuta+ uwe mfalme juu ya Israeli, nami nilikukomboa+ kutoka mkononi mwa Sauli. 8 Nami nilikuwa tayari kukupa nyumba ya bwana wako+ na wake za bwana wako+ kifuani pako, na kukupa nyumba ya Israeli na ya Yuda.+ Na kama hayo hayakutosha, nilikuwa tayari kukuongezea vitu kama hivyo na pia vitu vingine.+ 9 Kwa nini umelidharau neno la Yehova kwa kufanya yaliyo mabaya+ machoni pake? Uria Mhiti umempiga kwa upanga,+ nawe ukamchukua mke wake awe mke wako,+ naye ukamuua kwa upanga wa wana wa Amoni. 10 Na sasa upanga+ hautaondoka nyumbani mwako mpaka wakati usio na kipimo,+ kwa sababu ulinidharau mimi, ukamchukua mke wa Uria Mhiti, awe mke wako.’ 11 Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu yako kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ nami nitawachukua wake zako chini ya macho yako mwenyewe na kumpa mwanamume mwenzako,+ naye atalala na wake zako chini ya macho ya jua hili.+ 12 Ingawa wewe ulitenda katika siri,+ kwa upande wangu mimi, nitafanya jambo hili mbele ya Israeli+ wote na mbele ya jua.’”+

13 Basi Daudi akamwambia+ Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Kwa hiyo Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye ameacha dhambi yako ipite.+ Hutakufa.+ 14 Ingawa hivyo, kwa kuwa bila shaka hukumheshimu Yehova+ kwa jambo hili, pia yule mwana, uliyemzaa, atakufa hakika.”+

15 Kisha Nathani akaenda zake nyumbani kwake.

Na Yehova akampiga+ yule mtoto ambaye mke wa Uria alikuwa amemzalia Daudi, akawa mgonjwa. 16 Na Daudi akaanza kumtafuta Mungu wa kweli kwa ajili ya yule mvulana, Daudi akafunga kabisa,+ akaingia ndani, akakesha usiku na kulala chini kwenye udongo.+ 17 Basi wanaume wazee wa nyumba yake wakasimama juu yake ili wamwinue kutoka chini, lakini yeye hakukubali, wala hakula mkate+ pamoja nao. 18 Na ikawa katika siku ya saba yule mtoto akafa. Nao watumishi wa Daudi wakaogopa kumwambia kwamba mtoto amekufa; kwa maana walisema: “Tazama! Mtoto alipokuwa hai hatukusema naye, wala yeye hakuisikiliza sauti yetu; basi tunawezaje kumwambia, ‘Mtoto amekufa’? Ndipo hakika atafanya jambo baya.”

19 Daudi alipoona kwamba watumishi wake wananong’onezana, Daudi akaanza kutambua kwamba yule mtoto amekufa. Kwa hiyo Daudi akawaambia watumishi wake: “Je, mtoto amekufa?” Wakasema: “Amekufa.” 20 Ndipo Daudi akasimama kutoka chini, akaoga, akajipaka+ mafuta, akabadili nguo zake za kujitanda, naye akaja nyumbani+ kwa Yehova, akasujudu;+ kisha akaja nyumbani mwake na kutoa ombi, nao wakaweka mara moja mkate mbele yake, akaanza kula. 21 Basi watumishi wake wakamwambia: “Ni nini maana ya jambo hili ambalo umefanya? Ulifunga na ulikuwa ukimlilia mtoto alipokuwa hai; na mara tu mtoto alipokufa ukasimama, ukaanza kula mkate.” 22 Naye akasema: “Nilifunga,+ nikawa nikilia+ mtoto alipokuwa bado hai, kwa sababu nilisema, ‘Ni nani anayejua kama Yehova huenda akanipa kibali, na hakika mtoto aishi?’+ 23 Sasa kwa kuwa amekufa, kwa nini nifunge? Je, ninaweza kumrudisha tena?+ Mimi nitakwenda kwake,+ lakini yeye hatarudi kwangu.”+

24 Na Daudi akaanza kumfariji Bath-sheba mke wake.+ Na zaidi ya hayo, akaingia kwake, akalala naye. Baada ya muda akazaa mwana,+ naye akaitwa jina lake Sulemani.+ Na Yehova akampenda mwana huyo.+ 25 Basi akamtuma Nathani+ na kumwita jina lake Yedidia, kwa ajili ya Yehova.

26 Na Yoabu+ akaendelea kupigana na Raba+ jiji la wana wa Amoni, akateka jiji la ufalme ule. 27 Basi Yoabu akatuma wajumbe kwa Daudi na kusema: “Nimepigana na Raba.+ Pia nimeliteka jiji la maji. 28 Na sasa kusanya watu waliobaki, upige kambi juu ya jiji hilo, uliteke; ili isiwe ni mimi mwenye kuliteka, na jiji hilo liitwe kwa jina langu.”

29 Basi Daudi akawakusanya watu wote, akaenda Raba, akapigana nao na kuliteka. 30 Naye akachukua taji la Malkamu kutoka juu ya kichwa chake,+ ambalo uzito wake ulikuwa talanta moja ya dhahabu, pamoja na mawe ya thamani; nalo likaja kuwa juu ya kichwa cha Daudi. Na nyara+ za jiji lile ambazo alileta zilikuwa nyingi sana. 31 Na watu waliokuwa ndani yake, akawatoa nje ili awatie kwenye kazi ya kukata mawe kwa misumeno na ya vifaa vya chuma vyenye ncha kali+ na ya mashoka ya chuma, naye akawafanya watumike kufyatua matofali. Na hivyo ndivyo alivyoyafanya majiji yote ya wana wa Amoni. Mwishowe Daudi na watu wote wakarudi Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki