Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Samweli 13:1

Marejeo

  • +2Sa 3:3; 1Nya 3:2
  • +1Nya 3:9
  • +2Sa 3:2; 1Nya 3:1
  • +Mwa 34:3; Mt 5:28

2 Samweli 13:2

Marejeo

  • +Met 4:23; Kol 3:5
  • +2Pe 2:14
  • +Met 11:19

2 Samweli 13:3

Marejeo

  • +2Sa 13:35
  • +1Sa 16:9; 1Nya 2:13

2 Samweli 13:4

Marejeo

  • +1Fa 21:5
  • +Law 18:9
  • +Law 20:17; Mt 15:19; 1Th 4:5

2 Samweli 13:5

Marejeo

  • +Met 24:8
  • +Zb 50:19

2 Samweli 13:6

Marejeo

  • +Zb 10:9

2 Samweli 13:8

Marejeo

  • +1Nya 3:1, 9

2 Samweli 13:9

Marejeo

  • +Ayu 24:15; Yoh 3:20

2 Samweli 13:11

Marejeo

  • +Mwa 39:12
  • +Mwa 39:7
  • +Kum 27:22; Eze 22:11

2 Samweli 13:12

Marejeo

  • +Mwa 34:2
  • +Law 18:9; 20:17
  • +Mwa 34:7; Amu 20:6; Met 7:7

2 Samweli 13:14

Marejeo

  • +Law 18:9, 29
  • +Yak 1:15

2 Samweli 13:18

Marejeo

  • +Mwa 37:3

2 Samweli 13:19

Marejeo

  • +Yos 7:6; Est 4:1; Ayu 2:8; Yer 6:26
  • +Yer 2:37

2 Samweli 13:20

Marejeo

  • +2Sa 3:3; 13:1
  • +2Sa 3:2; 1Nya 3:1
  • +Law 18:9; Kum 27:22

2 Samweli 13:21

Marejeo

  • +1Sa 2:24
  • +Met 19:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2015, uku. 17

2 Samweli 13:22

Marejeo

  • +Mwa 34:7; Law 19:17; Met 18:19; 26:24; Efe 4:26; 1Yo 3:15

2 Samweli 13:23

Marejeo

  • +1Sa 25:4, 11
  • +Yoh 11:54
  • +1Fa 1:9, 19, 25

2 Samweli 13:25

Marejeo

  • +Mdo 18:20
  • +Ru 2:4

2 Samweli 13:26

Marejeo

  • +Zb 55:21; Met 10:18; 26:24

2 Samweli 13:27

Marejeo

  • +Met 26:25, 26

2 Samweli 13:28

Marejeo

  • +Ru 3:7; 1Sa 25:36; Est 1:10; Zb 104:15; Mhu 2:3; 10:19
  • +1Sa 28:10, 13

2 Samweli 13:29

Marejeo

  • +1Sa 22:18; 1Fa 21:11

2 Samweli 13:31

Marejeo

  • +Mwa 37:34; 2Sa 3:31
  • +2Sa 12:16
  • +2Sa 1:11

2 Samweli 13:32

Marejeo

  • +2Sa 13:3
  • +1Sa 16:9; 1Nya 2:13
  • +2Sa 12:10
  • +Mwa 27:41; Zb 7:14; Met 18:19
  • +2Sa 13:14
  • +Law 18:9, 29

2 Samweli 13:34

Marejeo

  • +2Sa 13:38; Met 28:17
  • +2Sa 18:24; 2Fa 9:17

2 Samweli 13:35

Marejeo

  • +2Sa 13:3
  • +2Sa 13:32

2 Samweli 13:37

Marejeo

  • +2Sa 3:3
  • +1Nya 3:2
  • +Mhu 7:2

2 Samweli 13:38

Marejeo

  • +Kum 3:14; Yos 12:5; 2Sa 14:23; 15:8

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Sam. 13:12Sa 3:3; 1Nya 3:2
2 Sam. 13:11Nya 3:9
2 Sam. 13:12Sa 3:2; 1Nya 3:1
2 Sam. 13:1Mwa 34:3; Mt 5:28
2 Sam. 13:2Met 4:23; Kol 3:5
2 Sam. 13:22Pe 2:14
2 Sam. 13:2Met 11:19
2 Sam. 13:32Sa 13:35
2 Sam. 13:31Sa 16:9; 1Nya 2:13
2 Sam. 13:41Fa 21:5
2 Sam. 13:4Law 18:9
2 Sam. 13:4Law 20:17; Mt 15:19; 1Th 4:5
2 Sam. 13:5Met 24:8
2 Sam. 13:5Zb 50:19
2 Sam. 13:6Zb 10:9
2 Sam. 13:81Nya 3:1, 9
2 Sam. 13:9Ayu 24:15; Yoh 3:20
2 Sam. 13:11Mwa 39:12
2 Sam. 13:11Mwa 39:7
2 Sam. 13:11Kum 27:22; Eze 22:11
2 Sam. 13:12Mwa 34:2
2 Sam. 13:12Law 18:9; 20:17
2 Sam. 13:12Mwa 34:7; Amu 20:6; Met 7:7
2 Sam. 13:14Law 18:9, 29
2 Sam. 13:14Yak 1:15
2 Sam. 13:18Mwa 37:3
2 Sam. 13:19Yos 7:6; Est 4:1; Ayu 2:8; Yer 6:26
2 Sam. 13:19Yer 2:37
2 Sam. 13:202Sa 3:3; 13:1
2 Sam. 13:202Sa 3:2; 1Nya 3:1
2 Sam. 13:20Law 18:9; Kum 27:22
2 Sam. 13:211Sa 2:24
2 Sam. 13:21Met 19:13
2 Sam. 13:22Mwa 34:7; Law 19:17; Met 18:19; 26:24; Efe 4:26; 1Yo 3:15
2 Sam. 13:231Sa 25:4, 11
2 Sam. 13:23Yoh 11:54
2 Sam. 13:231Fa 1:9, 19, 25
2 Sam. 13:25Mdo 18:20
2 Sam. 13:25Ru 2:4
2 Sam. 13:26Zb 55:21; Met 10:18; 26:24
2 Sam. 13:27Met 26:25, 26
2 Sam. 13:28Ru 3:7; 1Sa 25:36; Est 1:10; Zb 104:15; Mhu 2:3; 10:19
2 Sam. 13:281Sa 28:10, 13
2 Sam. 13:291Sa 22:18; 1Fa 21:11
2 Sam. 13:31Mwa 37:34; 2Sa 3:31
2 Sam. 13:312Sa 12:16
2 Sam. 13:312Sa 1:11
2 Sam. 13:322Sa 13:3
2 Sam. 13:321Sa 16:9; 1Nya 2:13
2 Sam. 13:322Sa 12:10
2 Sam. 13:32Mwa 27:41; Zb 7:14; Met 18:19
2 Sam. 13:322Sa 13:14
2 Sam. 13:32Law 18:9, 29
2 Sam. 13:342Sa 13:38; Met 28:17
2 Sam. 13:342Sa 18:24; 2Fa 9:17
2 Sam. 13:352Sa 13:3
2 Sam. 13:352Sa 13:32
2 Sam. 13:372Sa 3:3
2 Sam. 13:371Nya 3:2
2 Sam. 13:37Mhu 7:2
2 Sam. 13:38Kum 3:14; Yos 12:5; 2Sa 14:23; 15:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Samweli 13:1-39

2 Samweli

13 Na ikawa baada ya mambo hayo kwamba Absalomu+ mwana wa Daudi alikuwa na dada mwenye sura nzuri ambaye jina lake lilikuwa Tamari,+ na Amnoni+ mwana wa Daudi akampenda.+ 2 Jambo hilo likamhuzunisha sana Amnoni hivi kwamba akawa mgonjwa+ kwa sababu ya Tamari dada yake, kwa sababu alikuwa bikira, na ilikuwa vigumu machoni+ pa Amnoni kumfanya jambo lolote.+ 3 Basi Amnoni alikuwa na rafiki ambaye jina lake lilikuwa Yehonadabu,+ mwana wa Shimea,+ ndugu ya Daudi; na Yehonadabu alikuwa mwanamume mwenye hekima sana. 4 Kwa hiyo akamwambia: “Kwa nini wewe, mwana wa mfalme, una huzuni hivi, asubuhi baada ya asubuhi? Je, hutaki kuniambia?”+ Ndipo Amnoni akamwambia: “Ninampenda Tamari dada+ ya Absalomu ndugu yangu.”+ 5 Hivyo Yehonadabu akamwambia: “Lala kitandani mwako, ujifanye mgonjwa.+ Na baba yako atakuja kukuona, nawe umwambie, ‘Tafadhali, acha Tamari dada yangu aingie ndani, anipe mkate kama mgonjwa, naye atayarishe mkate wa kufariji chini ya macho yangu ili niuone, nami nile kutoka mkononi mwake.’”+

6 Basi Amnoni akalala, akajifanya mgonjwa,+ na kwa hiyo mfalme akaingia ndani kumwona. Ndipo Amnoni akamwambia mfalme: “Tafadhali, acha Tamari dada yangu aingie ndani, aniokee keki mbili zenye umbo la moyo chini ya macho yangu, ili nile mkate kama mgonjwa kutoka mkononi mwake.” 7 Kwa hiyo Daudi akatuma ujumbe kwa Tamari nyumbani, akisema: “Tafadhali, nenda kwa nyumba ya Amnoni ndugu yako, umtayarishie mkate wa kufariji.” 8 Basi Tamari akaenda nyumbani kwa Amnoni+ ndugu yake alipokuwa amelala. Kisha akachukua unga wa kukandwa, akaukanda, akatayarisha hizo keki chini ya macho yake, akaoka keki zenye umbo la moyo. 9 Mwishowe akachukua kikaango kikubwa, akapakua mbele yake, lakini Amnoni akakataa kula na kusema: “Ondoeni watu wote kwangu!”+ Ndipo kila mtu akaondoka kwake.

10 Kisha Amnoni akamwambia Tamari: “Leta mkate wa kufariji katika chumba cha ndani, ili niule kama mgonjwa kutoka mkononi mwako.” Basi Tamari akachukua zile keki zenye umbo la moyo ambazo alikuwa ametayarisha, akazileta ndani kwa Amnoni ndugu yake katika chumba cha ndani. 11 Wakati alipomkaribia ili ale, yeye akamkamata+ mara moja na kumwambia: “Njoo, lala nami,+ dada yangu.”+ 12 Hata hivyo, yeye akamwambia: “Hapana, ndugu yangu! Usinifedheheshe;+ kwa maana si kawaida kufanya hivi katika Israeli.+ Usifanye upumbavu huu wenye kufedhehesha.+ 13 Na mimi, je, nitapeleka wapi shutuma yangu? Na wewe utakuwa kama mmoja wa wanaume wasio na akili katika Israeli. Na sasa, tafadhali, sema na mfalme; kwa maana hatakuzuilia mimi.” 14 Naye hakukubali kuisikiliza sauti yake, bali akatumia nguvu kubwa kuliko zake, akamfedhehesha+ na kulala naye.+ 15 Na Amnoni akaanza kumchukia kwa chuki kubwa sana, kwa sababu chuki aliyomchukia ilikuwa kubwa kuliko upendo aliompenda, hata Amnoni akamwambia: “Ondoka, nenda zako!” 16 Naye akamwambia: “Hapana, ndugu yangu; kwa maana ubaya huu wa kunifukuza ni mkubwa kuliko ule ubaya ambao umenitendea!” Lakini hakukubali kumsikiliza.

17 Kwa hiyo akamwita mtumishi wake aliyemhudumia na kusema: “Tafadhali, mtoe huyu mtu kwangu, aende nje, ukaufunge mlango nyuma yake.” 18 (Basi alikuwa amevaa kanzu yenye mistari-mistari;+ kwa maana hivyo ndivyo binti za mfalme, mabikira, walivyokuwa wakivaa pamoja na makoti yasiyo na mikono.) Basi yule mtu wake wa kumhudumia akamtoa nje kabisa, akaufunga mlango nyuma yake. 19 Ndipo Tamari akatia majivu+ juu ya kichwa chake, akairarua ile kanzu yenye mistari-mistari aliyokuwa amevaa; naye akaweka mikono yake juu ya kichwa chake,+ akatembea akienda zake, akitembea huku akilia.

20 Kwa hiyo Absalomu+ ndugu yake akamwambia: “Je, Amnoni+ ndugu yako ndiye aliyekuwa nawe? Na sasa, dada yangu, nyamaza. Yeye ni ndugu yako.+ Usiweke moyo wako juu ya jambo hili.” Na Tamari akaanza kuishi katika nyumba ya Absalomu ndugu yake, huku akitengwa na ushirika wa wengine. 21 Na Mfalme Daudi akasikia habari ya mambo hayo yote,+ naye akakasirika sana.+ 22 Na Absalomu hakumwambia Amnoni jambo baya wala jema; kwa kuwa Absalomu alimchukia+ Amnoni kwa sababu alikuwa amemfedhehesha Tamari dada yake.

23 Na ikawa, baada ya miaka miwili kamili, Absalomu akawa na watu wenye kukata manyoya ya kondoo+ kule Baal-hasori, karibu na Efraimu;+ naye Absalomu akawaalika wana wote wa mfalme.+ 24 Basi Absalomu akaingia kwa mfalme na kusema: “Tazama, sasa, mtumishi wako ana watu wenye kukata manyoya ya kondoo! Tafadhali, acha mfalme na watumishi wake pia, aende pamoja na mtumishi wako.” 25 Lakini mfalme akamwambia Absalomu: “Hapana, mwanangu! Tafadhali usiache sisi sote twende, ili tusiwe mzigo kwako.” Ingawa alizidi kumhimiza,+ hakukubali kwenda, bali akambariki.+ 26 Mwishowe Absalomu akasema: “Kama si wewe, tafadhali acha Amnoni ndugu yangu aende pamoja nasi.”+ Ndipo mfalme akamwambia: “Kwa nini aende pamoja nawe?” 27 Na Absalomu akaanza kumhimiza,+ hata akamruhusu Amnoni na wana wote wa mfalme waende pamoja naye.

28 Kisha Absalomu akawaamuru watumishi wake, akisema: “Tafadhali, angalieni kwamba mara tu moyo wa Amnoni utakapochangamka kwa divai,+ nami niwaambie, ‘Mpigeni Amnoni!’ Ndipo ninyi mtakapomuua. Msiogope.+ Je, mimi sikuwaamuru? Iweni na nguvu, na muwe wanaume mashujaa.” 29 Na watumishi wa Absalomu wakamtendea Amnoni kama vile Absalomu alivyokuwa ameamuru;+ na wana wengine wote wa mfalme wakaondoka, wakapanda kila mmoja nyumbu wake, wakakimbia. 30 Na ikawa kwamba, walipokuwa njiani, Daudi akaletewa habari, kusema: “Absalomu amewapiga na kuwaua wana wote wa mfalme, na hapana hata mmoja wao amebaki.” 31 Ndipo mfalme akasimama, akazirarua nguo zake,+ akalala chini,+ na watumishi wake wote wakasimama kando, mavazi yao yakiwa yameraruliwa.+

32 Hata hivyo, Yehonadabu+ mwana wa Shimea,+ ndugu ya Daudi, akajibu na kusema: “Bwana wangu asifikiri kwamba wamewaua vijana wote walio wana wa mfalme, kwa maana ni Amnoni peke yake ndiye amekufa,+ kwa sababu kwa agizo la Absalomu limekuwa kama jambo ambalo limewekwa+ kuanzia siku ile alipomfedhehesha+ Tamari dada yake.+ 33 Na sasa bwana wangu mfalme asiliweke neno hili moyoni mwake, kusema, ‘Wana wote wa mfalme wamekufa’; bali ni Amnoni peke yake aliyekufa.”

34 Wakati huo Absalomu naye akakimbia.+ Baadaye yule kijana, mlinzi,+ akainua macho yake, na tazama! kulikuwa na watu wengi wakija barabarani nyuma yake kando ya ubavu wa mlima. 35 Ndipo Yehonadabu+ akamwambia mfalme: “Tazama! Wana wa mfalme wameingia. Imetokea kulingana na neno la mtumishi wako.”+ 36 Na ikawa, mara tu alipomaliza kusema, tazama, wana wa mfalme wakaingia, nao wakaanza kupaaza sauti zao na kulia; na hata mfalme na watumishi wake wote wakalia kilio kikubwa sana. 37 Lakini Absalomu akakimbia apate kwenda kwa Talmai+ mwana wa Amihudi mfalme wa Geshuri.+ Na Daudi akaendelea kumwombolezea+ mwana wake siku zote. 38 Lakini Absalomu akakimbia, akafika Geshuri;+ naye akakaa huko miaka mitatu.

39 Mwishowe nafsi ya Daudi, mfalme, ikatamani kwenda kwa Absalomu; kwa maana alikuwa amejifariji kumhusu Amnoni, kwa sababu alikuwa amekufa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki