2 Samweli 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baada ya miaka miwili kamili, wakataji manyoya ya kondoo wa Absalomu walipokuwa kule Baal-hasori, karibu na Efraimu,+ Absalomu aliwaalika wana wote wa mfalme.+
23 Baada ya miaka miwili kamili, wakataji manyoya ya kondoo wa Absalomu walipokuwa kule Baal-hasori, karibu na Efraimu,+ Absalomu aliwaalika wana wote wa mfalme.+