2 Samweli 13:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo Absalomu akamwambia: “Ikiwa hutaenda, tafadhali mruhusu Amnoni ndugu yangu aende pamoja nasi.”+ Mfalme akamuuliza: “Kwa nini aende pamoja nawe?”
26 Ndipo Absalomu akamwambia: “Ikiwa hutaenda, tafadhali mruhusu Amnoni ndugu yangu aende pamoja nasi.”+ Mfalme akamuuliza: “Kwa nini aende pamoja nawe?”